2 Mambo Ya Nyakati 29:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sababu hii, Mwenyezi-Mungu aliikasirikia sana Yuda na Yerusalemu, na yale aliyowatenda yamewashangaza na kuwaogofya watu wote, wakawazomea. Haya yote mmeyaona wenyewe kwa macho yenu.

2 Mambo Ya Nyakati 29

2 Mambo Ya Nyakati 29:5-9