2 Mambo Ya Nyakati 28:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme Ahazi alifariki, akazikwa mjini Yerusalemu, lakini si katika makaburi ya wafalme wa Israeli. Naye Hezekia mwanawe, akatawala mahali pake.

2 Mambo Ya Nyakati 28

2 Mambo Ya Nyakati 28:19-27