16. Furahini daima,
17. salini kila wakati
18. na kuwa na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu.
19. Msimpinge Roho Mtakatifu;
20. msidharau unabii.
21. Pimeni kila kitu: Zingatieni kilicho chema,
22. na kuepuka kila aina ya uovu.