1 Wakorintho 14:38-40 Biblia Habari Njema (BHN)

38. Lakini mtu asiyetambua hayo, basi, mtu asimjali mtu huyo.

39. Hivyo basi, ndugu zangu, mnapaswa kuwa na hamu ya kutangaza ujumbe wa Mungu; lakini msimkataze mtu kusema kwa lugha ngeni.

40. Lakini yote yafanyike kwa heshima na kwa utaratibu.

1 Wakorintho 14