1 Wakorintho 12:5-9 Biblia Habari Njema (BHN)

5. Kuna namna nyingi za kutumikia, lakini Bwana anayetumikiwa ni mmoja.

6. Kuna namna mbalimbali za kufanya kazi ya huduma, lakini Mungu ni mmoja, anayewezesha kazi zote katika wote.

7. Kila mtu hupewa mwangaza wa Roho kwa faida ya wote.

8. Roho humpa mmoja ujumbe wa hekima, na mwingine ujumbe wa elimu, apendavyo Roho huyohuyo.

9. Roho huyohuyo humpa mmoja imani, na humpa mwingine kipaji cha kuponya;

1 Wakorintho 12