1 Timotheo 3:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.

1 Timotheo 3

1 Timotheo 3:4-14