1 Samueli 30:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi aliporejea Siklagi, aliwapelekea rafiki zake, ambao ni wazee wa Yuda, sehemu ya nyara akisema, “Nawapelekea zawadi kutoka nyara za maadui wa Mwenyezi-Mungu.”

1 Samueli 30

1 Samueli 30:17-28