1 Samueli 30:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Hakuna mtu atakayekubaliana na mawazo yenu! Yule aliyekwenda vitani na yule aliyebaki na mizigo yetu, kila mtu atapewa sehemu inayolingana na mwenzake.”

1 Samueli 30

1 Samueli 30:14-26