1 Samueli 30:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini watu wote waovu na baradhuli miongoni mwa watu waliofuatana na Daudi, wakasema, “Hatutawapa watu hawa nyara zozote tulizozikomboa kwani hawakwenda pamoja nasi. Ila wawachukue wake zao na watoto wao, waende zao.”

1 Samueli 30

1 Samueli 30:13-24