1 Samueli 29:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakuu watano wa Wafilisti walipokuwa wakipita na vikosi vyao vya mamia na maelfu, Daudi naye akiwa na watu wake pamoja na Akishi walikuwa wanafuata upande wa nyuma wa jeshi hilo.

1 Samueli 29

1 Samueli 29:1-6