1 Samueli 19:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Alivua mavazi yake akawa anatabiri mbele ya Samueli. Alibaki uchi kwa siku moja, mchana na usiku. Kwa hiyo watu walianza kujiuliza, “Je, Shauli naye pia amekuwa mmoja wa manabii?”

1 Samueli 19

1 Samueli 19:20-24