1 Samueli 18:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Kokote Daudi alikotumwa na Shauli, Daudi alifanikiwa. Hivyo, Shauli akamfanya kuwa mkuu wa jeshi lake. Jambo hilo liliwafurahisha watu wote hata watumishi wa Shauli.

1 Samueli 18

1 Samueli 18:1-10