1 Samueli 14:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwenye kipito ambako Yonathani alipaswa apitie ili afike kwenye ngome ya Wafilisti, kulikuwa na miamba miwili iliyochongoka, upande huu na upande mwingine. Mwamba mmoja uliitwa Bosesi na mwingine uliitwa Sene.

1 Samueli 14

1 Samueli 14:1-6