1 Samueli 14:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakajitokeza ili Wafilisti wawaone. Wafilisti walipowaona wakasema, “Angalieni wale Waebrania wanatoka kwenye mashimo walimokuwa wamejificha.”

1 Samueli 14

1 Samueli 14:3-13