1 Samueli 14:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja, Yonathani mwana wa mfalme Shauli alimwambia kijana aliyembebea silaha, “Njoo, twende ngambo kwenye ngome ya Wafilisti.” Lakini Yonathani hakumwambia baba yake.

1 Samueli 14

1 Samueli 14:1-7