1 Samueli 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walipoona wako taabuni (maana walikuwa wanashambuliwa vikali), walianza kujificha. Wengine walijificha mapangoni, wengine mashimoni, wengine kwenye miamba, wengine kwenye makaburi na wengine kwenye visima.

1 Samueli 13

1 Samueli 13:3-12