1 Samueli 12:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo wakamwambia Samueli, “Tafadhali utuombee sisi watumishi wako kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, ili tusife; kwa sababu tumezidisha dhambi zetu kwa uovu huo wa kujitakia mfalme.”

1 Samueli 12

1 Samueli 12:11-25