1 Samueli 10:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Utanitangulia kwenda mjini Gilgali, mahali ambapo nitakukuta na kutoa sadaka ya kuteketezwa na tambiko za amani. Utaningojea hapo kwa muda wa siku saba mpaka nije na kukuonesha la kufanya.”

1 Samueli 10

1 Samueli 10:1-16