1 Samueli 10:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipowasili aliwaambia, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, anasema hivi: Niliwatoa Waisraeli nchini Misri, nikawaokoa nyinyi kutoka kwa Wamisri na falme nyingine zilizowakandamiza.

1 Samueli 10

1 Samueli 10:13-22