1 Samueli 10:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu waliomfahamu Shauli hapo awali, walipomwona anatabiri, wakaulizana, “Kitu gani kimempata mwana wa Kishi? Je, hata Shauli ni mmoja wa manabii?”

1 Samueli 10

1 Samueli 10:7-17