1 Mambo Ya Nyakati 8:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa watatu. Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.

1 Mambo Ya Nyakati 8

1 Mambo Ya Nyakati 8:31-40