1 Mambo Ya Nyakati 8:13-19 Biblia Habari Njema (BHN)

13. Beria na Shema walikuwa miongoni mwa jamaa ambazo zilikuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na kuwafukuza wenyeji wa Gathi.

14. Nao Ahio, Shashaki, Yeremothi,

15. Zebadia, Aradi, Ederi,

16. Mikaeli, Ishpa na Yoha ni wazawa wengine wa Beria.

17. Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,

18. Ishnerai, Izlia na Yobabu walikuwa wazawa wa Epaali.

19. Yakimu, Zikri, Zabdi,

1 Mambo Ya Nyakati 8