1 Mambo Ya Nyakati 4:42-43 Biblia Habari Njema (BHN)

42. Watu wengine wa kabila la Simeoni wapatao 500 walikwenda mpaka kwenye mlima Seiri. Waliongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli, wana wa Ishi.

43. Hapo waliwaua Waamaleki waliosalia baada ya kunusurika, na wakaishi huko mpaka leo.

1 Mambo Ya Nyakati 4