1 Mambo Ya Nyakati 3:20-23 Biblia Habari Njema (BHN)

20. Zerubabeli pia alikuwa na wana wengine watano: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-hesedi.

21. Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Yeshaya alimzaa Refaya, aliyemzaa Arnani, aliyemzaa Obadia, aliyemzaa Shekania.

22. Shekania alimzaa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa sita: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati.

23. Nearia alikuwa na wana watatu: Eliehonai, Hizkia na Azrikamu.

1 Mambo Ya Nyakati 3