1 Mambo Ya Nyakati 28:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Basi sasa, mbele ya kusanyiko hili la Waisraeli wote, jumuiya ya watu wa Mwenyezi-Mungu, na mbele ya Mungu wetu, angalieni mzishike amri zote za Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, ili mwendelee kuimiliki nchi hii nzuri, na kuwarithisha wazawa wenu baada yenu, hata milele.

1 Mambo Ya Nyakati 28

1 Mambo Ya Nyakati 28:1-18