1 Mambo Ya Nyakati 26:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia, vitu vyote vilivyowekwa wakfu na Samueli, mwonaji, na Shauli mwana wa Kishi, na Abneri, na Yoabu mwana wa Seruya, vilikuwa chini ya uangalizi wa Shelomithi na nduguze.

1 Mambo Ya Nyakati 26

1 Mambo Ya Nyakati 26:25-32