16. ya 9 Matania; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
17. ya 10 Shimei; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
18. ya 11 Azareli; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
19. ya 12 Hashabia; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
20. ya 13 Shebueli; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;