13. ya 6 Bukia; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
14. ya 7 Asharela; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
15. ya 8 Yeshaya; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;
16. ya 9 Matania; pamoja na wanawe na ndugu zake kumi na wawili;