1 Mambo Ya Nyakati 23:7-10 Biblia Habari Njema (BHN)

7. Wana wa Gershoni walikuwa wawili: Ladani na Shimei.

8. Ladani alikuwa na wana watatu: Yehieli mkuu wao, Zethamu na Yoeli.

9. Wana wa Shimei walikuwa watatu: Shelomithi, Hazieli na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa ukoo wa Ladani.

10. Wana wa Shimei walikuwa viongozi wanne: Yahathi, Zina, Yeushi na Beria.

1 Mambo Ya Nyakati 23