1 Mambo Ya Nyakati 23:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Daudi alipokuwa mzee wa miaka mingi, alimtawaza Solomoni mwanawe awe mfalme wa Israeli.

2. Mfalme Daudi aliwakusanya wakuu wote wa Israeli, makuhani na Walawi.

1 Mambo Ya Nyakati 23