1 Mambo Ya Nyakati 22:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi Daudi akasema, “Hapa ndipo mahali ambapo nyumba ya Mwenyezi-Mungu itakuwa, na hii ndiyo madhabahu ambapo watu wa Israeli watatolea sadaka ya kuteketezwa.”

1 Mambo Ya Nyakati 22

1 Mambo Ya Nyakati 22:1-11