1 Mambo Ya Nyakati 21:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa tendo hili nililolifanya! Lakini nakuomba unisamehe mimi mtumishi wako, kwani nimefanya jambo la kipumbavu kabisa.”

1 Mambo Ya Nyakati 21

1 Mambo Ya Nyakati 21:5-12