1 Mambo Ya Nyakati 21:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu Mungu akatuma malaika aende kuuharibu Yerusalemu; lakini kabla hajafanya hivyo, Mwenyezi-Mungu akageuza nia yake na kumwambia malaika huyo aliyetekeleza maangamizi, “Basi, yatosha!” Malaika alikuwa amesimama karibu na uwanja wa kupuria nafaka wa Ornani, Myebusi.

1 Mambo Ya Nyakati 21

1 Mambo Ya Nyakati 21:5-21