1 Mambo Ya Nyakati 11:26-33 Biblia Habari Njema (BHN)

26. Wanajeshi mashujaa wa Daudi walikuwa: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu,

27. Shamothi Mharodi, Helesi Mpeloni,

28. Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri Mwanathothi;

29. Sibekai Mhushathi; Ilai Mwahohi;

30. Maharai Mnetofathi; Heledi, mwana wa Baana Mnetofathi;

31. Itai, mwana wa Ribai, kutoka Gibea, wa kabila la Benyamini; Benaya Mpirathoni;

32. Hurai kutoka vijito vya Gaashi, Abieli Mwaibathi;

33. Azmawethi Mbaharumu; Eliaba Mshaalboni;

1 Mambo Ya Nyakati 11