1 Mambo Ya Nyakati 1:32-38 Biblia Habari Njema (BHN)

32. Abrahamu alikuwa na suria aliyeitwa Ketura. Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.

33. Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Henoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wazawa wa Ketura.

34. Isaka, mwana wa Abrahamu, alikuwa na wana wawili: Esau na Israeli.

35. Wana wa Esau walikuwa Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.

36. Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna na Amaleki.

37. Wana wa Reueli walikuwa Nahathi, Zera, Shama na Miza.

38. Wana wa Seiri walikuwa Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Eseri na Dishani.

1 Mambo Ya Nyakati 1