1 Mambo Ya Nyakati 1:30-36 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,

31. Yeturi, Nafishi na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.

32. Abrahamu alikuwa na suria aliyeitwa Ketura. Ketura alimzalia Abrahamu: Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.

33. Wana wa Midiani walikuwa: Efa, Eferi, Henoki, Abida na Eldaa. Wote hao walikuwa wazawa wa Ketura.

34. Isaka, mwana wa Abrahamu, alikuwa na wana wawili: Esau na Israeli.

35. Wana wa Esau walikuwa Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu na Kora.

36. Wana wa Elifazi walikuwa Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna na Amaleki.

1 Mambo Ya Nyakati 1